Karibu Sana katika Blogu hii ambayo inakupa fursa ya kupata habari mbali mbali za maswala ya urembo nk. pia kama unatangazo lako unataka liwekwe hapa mtandaoni,usisite kuwasiliana nasi kwa mawasiliano haya +255786665555 au email hii flauwo@yahoo.com.
Thursday, December 8, 2011















































































































Hawa ni baadhi ya wachangiaji damu waliojitokeza kwa ajili ya uchangiaji damu katika programu iliyoandaliwa na klabu ya ROTARACT ROCK CITY kwa lengo la kuiokoa jamii na tatizo la damu nchini


Diana Thomas mwanachama katika klabu hiyo amesema wao wameamua kufanya hivyo baada ya klabu yao kuona kwamba kunauhaba wa damu katika benki nyigi za damu hapa nchini


Pamoja na hayo Dk.Zubeda Shangelo amewasihii watu kachangia damu ilikuokoa maisha ya watu wanakufa kwa kukosa damu pia Dk.Shangelo amewatoa hofu watu wasiogope kuchangia damu kwani kuchangia damu hakuleti madhara yoyote kiafya kama inavyozaniwa na wengi


Pia Dk.Shengelo ametaja faida ya kutoa damu ni pamoja na kujua afya yako kwani hupima magonjwa kama vvu,homa ya manjano B and C,kaswende pamoja na mchangiaji kuweza kujua group yadamu yake

Zoezi hili linafanyika katika viwanja vya Raila Odinga vilivyopo maeneo ya malimbe kwa takribani mbili mfululizo ikihusisha watu wenye kuanzia umri wa miaka 18 na kuendelea kuanzia



















 
© FLORAH | 6:39 PM | Permalink |


Idadi Ya Maoni: 0


Idadi ya watu