
Ukipita maeneo ya ziwa victoria utaona mitumwi imetelekezwa hii ikiwa ni ishara tosha kabisa kuwa upatikanaji wa samaki umekuwa mgumu kutokana uvuvi haramu unaondelea nadani ya ziwa hili licha ya serikali kufanya juhudi mbalimbali kufanyika ili kukomesha tatizo hilo

