Karibu Sana katika Blogu hii ambayo inakupa fursa ya kupata habari mbali mbali za maswala ya urembo nk. pia kama unatangazo lako unataka liwekwe hapa mtandaoni,usisite kuwasiliana nasi kwa mawasiliano haya +255786665555 au email hii flauwo@yahoo.com.
Friday, December 16, 2011


Tazameni hii ni shule je kwa mfumo huu tutafika kweli da mi sijui
 
© FLORAH | 3:32 PM | Permalink |


Idadi Ya Maoni: 3


  • Tarehe December 20, 2011 10:40 AM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    kwani hapo kuna ubaya gani, mbona hiyo shule inamajengo mazuri kabisa yanaonekana?
    huo ni ubunifu wa walimu wao ili kuwapima watoto wasiangaliziane.

    assess miaka 50 at your family level uone kuna improvement ama la, pia walter rodney amedefine vizuri kabisa what is development.

    hebu watanzania tuongeze muda wa kufanya kazi, tupunguze muda wa starehe na maandalizi ya sherehe, we are wasting a lot of time kwa vitu unnecessary.

    tanzania bila umaskini inawezekana
    timiza wajibu wako

     
  • Tarehe December 22, 2011 1:35 AM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    acha kujilalamisha sister, mbona hao wanaonekana wanafanya mtihani wa kitaifa ndio huwa wanapangwa hivyo? kwani kuna tatizo gani hapo na kila mwanafunzi ana dawati lake kwenye hiyo picha yako.

     
  • Tarehe December 26, 2011 6:12 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    hii ni hatari, matokeo ya uongozi mbovu.

     
Idadi ya watu