Karibu Sana katika Blogu hii ambayo inakupa fursa ya kupata habari mbali mbali za maswala ya urembo nk. pia kama unatangazo lako unataka liwekwe hapa mtandaoni,usisite kuwasiliana nasi kwa mawasiliano haya +255786665555 au email hii flauwo@yahoo.com.
Saturday, November 26, 2011








Hii ni meza kuu ikiongozwa na mgeni rasmi mkuu wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino na pia Askofu Mkuu wa jimbo kuu la Mwanza Mh.Theudes Ruwaichi katika mahafali ya 13 ya chuo hicho ikiwa ni zaidi ya wahitimu elfu tatu wameweza kupata mahafali hayo katika ngazi ya cheti,stashahada pamoja na shahada katika viwanja vya Raila Ofinga leo



 
© FLORAH | 4:04 PM | Permalink |


Idadi Ya Maoni: 1


  • Tarehe December 24, 2011 9:54 PM, Mtoa Maoni: Anonymous Anonymous

    Zaidi ya wahitimu elfu tatu wameweza kupata mahafali hayo...


    Wow. Hata Kiswahili kinatushinda.

     
Idadi ya watu