.jpg)
Enyi watu wa mungu tuombeeni huku kanda ya ziwa kwani maovu yanaendelea kutuzidi, mara ujambazi, vifo vya maalbino, mkoa wa mara ndio kabsaa usiseme kwani mbali na kuchinjana kama kuku pia wanaendekeza imani za kishirikina, na ndio kilichompata huyu mtoto magath kwani alikatwa mikono na mtu asiejulikana kwa madai kuwa viganja vyake vina michoro ya utajiri,
Siku za mwisho itakuwaje? nani atahukumiwa zaidi? ni mganga,au muuaji?
.jpg)
mtoto magatha akiwa hosipitali ya mkoa
.jpg)
Pole sana mwanetu mungu atakusaidia, na waliokukata mikono yako ipo siku wataadhibiwa na kupata mateso kuliko waliyokupa.tushirikiane wote kumwombea.
Eee mungu mbona umeleta kiama kwa njia kama hizi? watu wa mara wakati wa kubadilika umefika acheni ukatili usiokuwa na maana mwaogopeni mungu